Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume wa Jack Patrick alinasa penzi la Miss Tanzania 2011, Salha Israel.

Mume wa Jack Patrick akiwa na Salha Israel.  ********** Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa kukamatwa na unga, Jacqueline...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 5 April 2014

Magazeti ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  5  April  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMS za Ngono za Lulu zanaswa....Alikuwa akimtumia kigogo mume wa mtu, Mke...

  "Ni  muda  mrefu  nimekuwa  nikifuatilia  mienendo  ya  mume  wangu  kutokana  na  tabia  yake  kubadilika  sana  siku  za  hivi  karibuni, nikabaini  kuwa  kuna  msichana  anawasiliana  naye  kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri yafichuka : Juma Nature na Jokate Mwegelo wanatafuta Kick....Lengo...

Mgogoro  unaodaiwa  kuwepo  kati  ya  Juma Nature  na  Jokate  Mwegelo  inasemekana  ni  kamba  za  mchana  na  kwamba  hilo  ni  dili  linachezwa  na  wawili  hao  ili  kupandisha  chati  kandambili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mganga wa Diamond atoboa siri nzito juu ya tuzo 7 za Kili Music Awards 2014...

  Yule mganga maarufu wa mastaa nchini ambaye aliwahi kutangaza kuwa amekuwa na ukaribu na mwanamuziki Diamond ameibuka na kusema kuwa tuzo hizo saba alizozipata zinamaana kubwa sana kwenye kazi zake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miongoni mwa stori zilizobamba wikiendi hii ni hii ya huyu mamba mkubwa...

Miongoni mwa stori za mjini  zilizobamba wikiendi  hii ni hii ya Mamba kuuawa Block 41 Kinondoni Dar es salaam kwenye eneo  ambalo wanaishi watu kadhaa maarufu wa Tanzania akiwemo Kalapina wa kikosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Padri wa kanisa Katoliki na Katekista wafariki dunia katika ajali ya gari...

 Askofu Gervas Nyaisonga wa Jimbo katoliki la Mpanda akibusu Ardhi  katika kijiji cha Kamsisi ikiwa ni ishara ya kuhamia rasmi kuliongoza jimbo la Mpanda akitokea jimbo katoliki la Dodoma  Askofu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana afuta nyayo za UKAWA Zanzibar, maelfu ya wananchi wahudhuria mkutano...

 Umati  wa  wananchi  uliohudhuria  mkutano  huo    Wazanzibar  wanasema  Serikali  mbili  zinawatosha  Wananchi wakishangilia na kuonesha vidole kuunga mkono serikali mbili za Muungano wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilio cha produza wa Diamond...."Kwa nini KTMA wameninyima tuzo wakati...

  Kama ilivyo siku zote yanapofanyika mashindano lazima kuwe na pande mbili, moja ikiwa ni ya wale watakaofurahia matokeo kutokana na kushinda na upande wa wale ambao hawatafurahia kutokana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni...

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha. Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivi ni vielelezo vya mabadiliko ya uelekeo wa daladala jijini Dar.....Bofya...

Kielelezo  kinaonyesha  mabadiliko  jinsi  daladala  zinazoingia  katikati  ya  jiji  kutokea  barabara  ya  Morogoro.... Kielelezo  kinachoonyesha mabadiliko  jinsi  daladala  zinazoingia  katikati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za mazishi ya sheikh Ilunga Hassan Kapungu aliyefariki dunia usiku wa...

 Maalim Seif akishiriki katika mazishi ya Sheikh Ilunga Shekh Hassan Kapungu yaliofanyika katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni Dar es Salaam  Sheikh Ilunga Shekh Hassan Kapungu enzi za uhai wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI: Tanki la mafuta lalipuka moto maeneo ya Shelui mkoani Singida...

     Msururu wa magari ukiwa mkubwa katika eneo hilo baada ya kushindwa kupita kutokana na moto mkubwa uliokuwa ukiwaka. Wananchi na wasafiri mbalimbali wakitoka kuangalia tukio hilo. Askari wa usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 6 May 2014

Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  6  May  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Bajeti linaanza leo na hizi ni posho mpya walizoongezewa wabunge hao

Baada ya kuhairishwa kwa Bunge la maalum la Katiba,Bunge la bajeti linaanza leo Mei 06 Dodoma ambapo wabunge wanatarajiwa kuanza kulipwa viwango vipya vya posho ambapo itakua ni shilingi 300,000 kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabinti wajiuza kwa sh. 2000/= bustanini.....sh. 5000/= kinyume na maumbile...

BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freemasons nyuma ya ajali ya basi la Summry iliyoua watu 19

IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri leo Bungeni: Wabunge wapya Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa...

Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza leo mei 6, 2014. Mbunge Mpya wa Jimbo la Kalenga,Mh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiongozi wa Boko Haram asema atawauza wanafunzi wa kike aliowateka...

Hofu inazidi kutanda nchini Nigeria na matumaini ya kuwapata wanafunzi wa kike zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram yanapungua baada ya kiongozi wa kundi hilo kutangaza kuwa amepanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond kunyakua tuzo 7 za KTMA ....Imebainika Wema Sepetu ndo HIRIZI yake,...

Ama  kweli  kila  nyuma  ya  mafanikio  ya  mwanaume  kuna  mwanamke   imara.Hili  limejidhihirisha  mwishoni  mwa  wiki  iliyopita  wakati  msanii  kiwango  wa  bongo  fleva  Naseeb  Abdul  'Diamond...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>