Umati wa wananchi uliohudhuria mkutano huo
Wazanzibar wanasema Serikali mbili zinawatosha
Wananchi wakishangilia na kuonesha vidole
kuunga mkono serikali mbili za Muungano wakati wa mkutano wa hadhara wa
CCM kwenye viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar.
Mama Fatma Karume akihutubia katika
mkutano huo na kukemea Ukawa wanaotaka kuuvunja Muungano kwa kutaka
↧