Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Yaliyojiri leo Bungeni: Wabunge wapya Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa

$
0
0
Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza leo mei 6, 2014. Mbunge Mpya wa Jimbo la Kalenga,Mh. Godfrey Mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma leo Mei 2014. Mbunge Mpya wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles