Spika
wa Bunge,Mh. Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania. Wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza
leo mei 6, 2014.
Mbunge Mpya wa Jimbo la Kalenga,Mh. Godfrey Mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma leo Mei 2014.
Mbunge
Mpya wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na
wabunge wa
↧