Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kiongozi wa Boko Haram asema atawauza wanafunzi wa kike aliowateka nyara....“Nimewateka nyara wasichana wenu. Nitawauza sokoni, kwa jina la Mungu.”

$
0
0
Hofu inazidi kutanda nchini Nigeria na matumaini ya kuwapata wanafunzi wa kike zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram yanapungua baada ya kiongozi wa kundi hilo kutangaza kuwa amepanga kuwauza.   “Nimewateka nyara wasichana wenu. Nitawauza sokoni, kwa jina la Mungu.” Alisema kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau kwenye video ambapo aliongea kwa lugha ya Hausa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles