Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Freemasons nyuma ya ajali ya basi la Summry iliyoua watu 19

$
0
0
IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wa usalama barabarani wanne. Habari za uhakika kutoka kijijini hapo zinasema siku moja baada ya ajali hiyo mbaya, basi moja linalosafiri

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>