Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

AJALI: Tanki la mafuta lalipuka moto maeneo ya Shelui mkoani Singida ....Barabara ya Mwanza - Dodoma yafurika moshi, wasafiri wakwama kwa muda

$
0
0
     Msururu wa magari ukiwa mkubwa katika eneo hilo baada ya kushindwa kupita kutokana na moto mkubwa uliokuwa ukiwaka. Wananchi na wasafiri mbalimbali wakitoka kuangalia tukio hilo. Askari wa usalama barabarani akihakikisha mambo yanakwenda sawa na usalama unaimarishwa katika eneo hilo. **** Tanki la mafuta la kampuni ya B. Clarke Haulege Construction  limelipuka  na kuwaka  moto

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>