Baada ya kuhairishwa kwa Bunge la maalum la Katiba,Bunge la bajeti
linaanza leo Mei 06 Dodoma ambapo wabunge wanatarajiwa kuanza kulipwa
viwango vipya vya posho ambapo itakua ni shilingi 300,000 kwa siku
ambayo ni sawa na viwango sawa na walivyokuwa wakilipwa wajumbe bunge
maalum la katiba.
Kabla ya kupandishwa kwa posho hizo Wabunge walikua wakilipwa 200,000
kwa siku ambayo mgawanyo
↧