Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la Bajeti linaanza leo na hizi ni posho mpya walizoongezewa wabunge hao

$
0
0
Baada ya kuhairishwa kwa Bunge la maalum la Katiba,Bunge la bajeti linaanza leo Mei 06 Dodoma ambapo wabunge wanatarajiwa kuanza kulipwa viwango vipya vya posho ambapo itakua ni shilingi 300,000 kwa siku ambayo ni sawa na viwango sawa na walivyokuwa wakilipwa wajumbe bunge maalum la katiba. Kabla ya kupandishwa kwa posho hizo Wabunge walikua wakilipwa 200,000 kwa siku ambayo mgawanyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles