Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa Nchi mbalimbali wawasili Nchini Kwa ajili ya Maadhimisho ya...

 Rais Mstaafu wa Namibia Sam Nujoma akisalimiana na Dkt. Harisson Mwakyembe alipowasili Kwa ajili ya sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania  Rais wa Lesotho Mfalme Letsie 111 akiwasili Kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Muungano unawanufaisha wananchi, Tuudumishe"....Asema Rais Kikwete

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika matembezi ya pamoja na viongozi wenzake wakati wa mapokezi ya matembezi ya Kizalendo yaliyofanywa na vijana nchini jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Sherehe za miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar toka uwanja...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baby madaha asimulia jinsi anavyotongozwa na wasanii wenzake wa...

Baby Madaha  akipigana  denda    na  msichana  mwenzake Bar. **** Wakati  sakata  la  kusagana  ndani  ya  mastaa  wa  bongo  movie  likiwa  bado  bichi, Msanii  wa  muziki  na  maigizo  Baby  madaha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Askari magereza wakionesha jinsi wanavyopambana na wafungwa wakorofi...

   'Wafungwa'  wakijifua kupambana na askari Magereza katika moja ya maonesho yaliyotia fora sana kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Askari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Jeshi la wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) likionesha ujuzi wake na baadhi...

 Makombora ya kutungulia ndege za adui  yakionyeshwa kwa wananchi.  Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kutoa heshima mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.  Kikosi cha Makomandoo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 27 April 2014

                          Magazeti  ya  leo  Jumapili  ya  tarehe  27  April  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mkuu wa Korea Kusini ajiuzulu kufuatia kuzama kwa ferry iliyosababisha...

Waziri mkuu wa Korea Kusini Chung Hong-won amejiuzulu kufuatia kuzama kwa Ferry ya Sewol iliyokuwa na jumla ya abiria 476 wengi wao wakiwa ni wanafunzi na walimu, huko pwani ya kusini ya nchi hiyo wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: ...Papa Francis awatangaza Mapapa John XXIII na John Paul II watakatifu

Mapapa wa zamani, John XXIII na John Paul II wametangazwa watakatifu Jumapili hii na Papa Francis hafla iliyoshuhudiwa na umati mkubwa wa waumini wa kanisa katoliki kwenye viwanja vya St. Peter’s...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond anatafutwa China.....Aliyejifanya dansa wake adakwa na madawa ya...

  STAA  wa  muziki  wa  bongo  fleva  nchini, Abdul  Nassib  "Diamond"  ametakiwa  kutokanyaga  kabisa  nchini  China  na  kwamba  akitokeza  pua  yake  nchini  humo  asahau  kabisa  kurudi  uraiani......

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete azindua rasimi kituo cha magonjwa ya moyo Muhimbili.....

  Rais Jakaya Kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi  jana  April...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 3,967 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho...

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho miaka 50 ya Muungano wa Tanzania.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni...

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha. Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa chuo afariki katika chumba cha boyfriend wake akijaribu kutoa...

Mwanafunzi wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa J adai Diamond alilia machozi wakati anafanya chorus ‘Kipi Sijasikia’

Profesa J amesema Diamond Platnumz, alilia machozi wakati anafanya chorus ya wimbo wake ‘Kipi Sijasikia’ Rapper huyo alikiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM kuwa wakati Diamond anarekodi chorus...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akabidhi Vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo katika Ikulu ya Dar es Salaam amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma. Rais amekabidhi vitabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole ajisifu kuwapiga vibuti wanaume......"katika uhusiano wa kimapenzi...

STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa katika uhusiano wa kimapenzi hajawahi kuachwa bali huwa anaacha mwenyewe. Akistorisha na mwanahabari wetu, Shilole alisema tangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi yahukumiwa kifungo cha miaka 270 Jela wilayani Chunya mkoani Mbeya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Chunya mwishoni mwa wiki iliwahukumu watu tisa kwenda jela jumla kwa miaka 270 baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha.    Washtakiwa hao ni Samweli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 29 April 2014

                                                Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  29  April  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la Sumry (Kigoma-Dar) laua watu 14 papo hapo usiku wa kuamkia leo maeneo...

WATU 13 aiwemo askari wa kikosi cha usalama barabarani wamepoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya Sumry lililokuwa likitoka Kigoma kwenda Dar katika kijiji cha Ikungi mkoani Singida...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>