Waziri mkuu wa Korea Kusini Chung Hong-won amejiuzulu kufuatia kuzama
kwa Ferry ya Sewol iliyokuwa na jumla ya abiria 476 wengi wao wakiwa ni
wanafunzi na walimu, huko pwani ya kusini ya nchi hiyo wiki iliyopita.
“vilio vya familia za wale ambao bado hawajaonekana vinanikosesha usingizi usiku” alisema Chung Hong-won.
Maafisa wa Korea Kusini wamethibitisha jumla ya watu 187
↧