Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri mkuu wa Korea Kusini ajiuzulu kufuatia kuzama kwa ferry iliyosababisha vifo vya watu 187

$
0
0
Waziri mkuu wa Korea Kusini Chung Hong-won amejiuzulu kufuatia kuzama kwa Ferry ya Sewol iliyokuwa na jumla ya abiria 476 wengi wao wakiwa ni wanafunzi na walimu, huko pwani ya kusini ya nchi hiyo wiki iliyopita. “vilio vya familia za wale ambao bado hawajaonekana vinanikosesha usingizi usiku” alisema Chung Hong-won.   Maafisa wa Korea Kusini wamethibitisha jumla ya watu 187

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>