Mapapa wa zamani, John XXIII na John Paul II wametangazwa watakatifu
Jumapili hii na Papa Francis hafla iliyoshuhudiwa na umati mkubwa wa
waumini wa kanisa katoliki kwenye viwanja vya St. Peter’s Square, jijini
Vatican.
Waumini wa kanisa katoliki wakifuatilia sherehe za kutangazwa watakatifu mapapa John XXIII na John Paul II
Mamilioni ya watu wengine duniani wameangalia kupitia
↧