Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha: ...Papa Francis awatangaza Mapapa John XXIII na John Paul II watakatifu

$
0
0
Mapapa wa zamani, John XXIII na John Paul II wametangazwa watakatifu Jumapili hii na Papa Francis hafla iliyoshuhudiwa na umati mkubwa wa waumini wa kanisa katoliki kwenye viwanja vya St. Peter’s Square, jijini Vatican. Waumini wa kanisa katoliki wakifuatilia sherehe za kutangazwa watakatifu mapapa John XXIII na John Paul II     Mamilioni ya watu wengine duniani wameangalia kupitia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>