Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond anatafutwa China.....Aliyejifanya dansa wake adakwa na madawa ya kulevya kama Jack Patrick, ni katika uwanja uleule wa ndege akiwa na shehena ya Unga

$
0
0
  STAA  wa  muziki  wa  bongo  fleva  nchini, Abdul  Nassib  "Diamond"  ametakiwa  kutokanyaga  kabisa  nchini  China  na  kwamba  akitokeza  pua  yake  nchini  humo  asahau  kabisa  kurudi  uraiani... Hiyo  inafuatia  kijana  mmoja  mtanzania  kukamatwa  wiki  iliyopita  uwanja  wa  ndege  wa   Macau   China  na  kudai  kuwa  yeye  ni  mcheza  shoo  wa  mwanamuziki  Diamond  kutoka  Tanzania

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles