Rais
Jakaya Kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa
upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya
Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi jana April 27, 2014
Rais Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa chama
tawala cha China cha National People's Congress Mhe. Chen Changzhi
(kushoto) wakioneshwa moja ya vifaa vya kisasa vya kuchunguzia
↧