Mwanafunzi wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la
Atu Gabriel amefariki akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, katika kuthibitisha kutokea kwa tukio hilo, alisema
Jumamosi April 26 mwili wa Atu ulikutwa katika chumba cha mwanaume
aliyefahamika kwa jina la Hafidhi ambaye anadaiwa kuwa mpenzi wake.
Kamanda
↧