Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Profesa J adai Diamond alilia machozi wakati anafanya chorus ‘Kipi Sijasikia’

$
0
0
Profesa J amesema Diamond Platnumz, alilia machozi wakati anafanya chorus ya wimbo wake ‘Kipi Sijasikia’ Rapper huyo alikiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM kuwa wakati Diamond anarekodi chorus hiyo yeye na Majani walishangaa kumuona hitmaker huyo wa ‘My Number One’ akibubijikwa na machozi ndani ya ‘booth’.   “Lakini kilichotushangaza alipoingia booth ili arekodi chorus Diamond

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>