Profesa J amesema Diamond Platnumz, alilia machozi wakati anafanya chorus ya wimbo wake ‘Kipi Sijasikia’
Rapper huyo alikiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM kuwa wakati
Diamond anarekodi chorus hiyo yeye na Majani walishangaa kumuona
hitmaker huyo wa ‘My Number One’ akibubijikwa na machozi ndani ya
‘booth’.
“Lakini kilichotushangaza alipoingia booth ili arekodi chorus Diamond
↧