Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi
waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na
kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la Jeshi la wananchi kwenye sherehe za miaka 50 ya
↧