Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Chunya mwishoni mwa wiki
iliwahukumu watu tisa kwenda jela jumla kwa miaka 270 baada ya
kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha.
Washtakiwa hao ni Samweli Sarehe (40), Bahati
Kenson (29), Aulesi Andason (28) na Ayubu Swila (24), wote wakazi wa
Mbalizi Wilaya ya Mbeya Vijijini.
Wengine ni Mathias Simfukwe (31), Pascal Simchimba
(27) wote
↧