Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi yahukumiwa kifungo cha miaka 270 Jela wilayani Chunya mkoani Mbeya

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Chunya mwishoni mwa wiki iliwahukumu watu tisa kwenda jela jumla kwa miaka 270 baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha.    Washtakiwa hao ni Samweli Sarehe (40), Bahati Kenson (29), Aulesi Andason (28) na Ayubu Swila (24), wote wakazi wa Mbalizi  Wilaya ya Mbeya Vijijini.   Wengine ni Mathias Simfukwe (31), Pascal Simchimba (27) wote

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>