'Wafungwa'
wakijifua kupambana na askari Magereza katika moja ya maonesho
yaliyotia fora sana kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano katika Uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam leo
Askari akipambana na 'Mahabusu' aliyeasi
Askari akila sahani moja na 'wafungwa' watatu
Askari anapangua teke....
Kisha anakata zote bee....
Mfungwa hoi...
↧