Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bahari ya Hindi yaua watu 10... Sita walikuwa katika Boti ya Kilimanjaro ,...

Watu kumi wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea jana  katika Bahari ya Hindi.   Katika ajali ya kwanza, watu sita walifariki baada ya boti ya Kilimanjaro II ilipokumbwa na dhuruba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa mtu anyofolewa sikio katika ugomvi wa kimapenzi kati yake na mumewe

  Consolata Edward ni mke wa mtu, mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye amebaki na kipisi cha sikio baada ya kunyofolewa kiungo hicho kisa kikidaiwa kuwa ni hawara yake. Tukio hilo lilitokea Desemba 16,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hukumu ya Zitto Kabwe yaahirishwa hadi kesho saa nane mchana

Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha kutoa hukumu dhidi ya Zitto Kabwe na CHADEMA  na badala yake  hukumu hiyo itatolewa kesho saa 8:00 mchana. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama hiyo, kesi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi ya picha za wakazi wa mkoa wa Iringa wakiuaga mwili wa Waziri wa Fedha...

Hizi  ni  picha  za  wakazi  wa  mkoa  wa  Iringa  wakiuaga  mwili  wa  Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa aliyefariki tarehe  moja ya mwezi huu- 2014 saa tano asubuhi kwenye hospitali aliyokua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe amjibu Zitto Kabwe....Anasema kupewa pesa na CCM si tatizo,...

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, jana alishusha tuhuma nzito dhidi ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, zikimhusisha na ufisadi.   Tuhuma hizo ziliibuka  baada  ya   Mwanasheria Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza maelfu ya wananchi wa Iringa waliojitokeza kumzika...

MAELFU   ya  wakazi  wa mkoa  wa Iringa na  baadhi  ya  viongozi  wa  vyama  vya  siasa na  Serikali  wakiongozwa na  Rais Dr  Jakaya  Kikwete  wameshiriki  katika mazishi ya  aliyekuwa  mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimrod Mkono Akanusha kumhonga Zitto Kabwe magari mawili....Anadai kwamba...

TAMKO KUHUSU YANAYOENDELEA CHADEMA MH. MKONO KUMPATIA MH. ZITTO MAGARI MAWILI Nimesikitishwa na jinsi Chama kikuu cha upinzani ambavyo kwa siku za hivi karibuni kimeingia katika migogoro ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Diamond Platnumz Feat. Davido – Number One ‘Remix’

Tazama hapa video mpya kutoka kwa Diamond Platnumz ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu akiwa amemshirikisha Davido kutoka Nigeria kwenye remix ya ngoma yake ‘My Number One’.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti wa miaka 15 atekwa kwa siku tatu na kubakwa huko Makete, Njombe

 Na Edwin Moshi,Makete Jeshi la polisi wilayani Makete  mkoani Njombe linamshikilia  Fransis Pilla (36) mkazi wa kijiji cha Iwawa na kata ya Iwawa  wilayani hapa kwa makosa  mawili ya  utekaji nyara na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi wenye virusi vya UKIMWI mkoani Pwani wawalalamikia walimu wao

BAADHI ya wanafunzi wa shule za msingi mkoani Pwani wenye virusi vya Ukimwi, wamesema baadhi ya walimu huwataka kimapenzi licha ya kuwaeleza ukweli juu ya hali zao kiafya.   Wametaka Serikali na asasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yakituhumu chama cha CUF kwa kuandaa vijana wenye panga na marungu...

MGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe atoa kauli nzito.....Asema wapinzani ( Dr. Slaa ) wakishika dola...

ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametoa kauli nzito, baada ya kusema viongozi wa vyama vya siasa wanaopekua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya Jack Patrick kuanza kusikilizwa mwaka 2016....Wachina wampa mwaka...

HABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani) zinazidi kumuumiza mrembo huyo. Mrembo huyo alikamatwa Desemba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unyama: Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke ambaye chama hicho kinamtuhumu...

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke Joseph Yona ambaye  chama  hicho  kinamtuhumu  kushirikiana  na  CUF kumuunga  mkono Zitto  Kabwe amepigwa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi ya picha kutoka nje ya mahakama kuu Dar kabla ya hukumu ya Zitto Kabwe

          Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Zitto na wale wanaompinga nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kabla ya hukumu kutolewa. <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe ashinda hukumu ya kesi yake.....Mahakama yaizuia kamati kuu ya...

  LEO macho na maskio ya watanzania   hasa  wafuasi  na  wapenzi  wa  CHADEMA yalielekezwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,pale ambapo Jaji wa Mahakama hiyo Jaji John Utumwa   alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwasisi wa CHADEMA, mzee Edwin Mtei amtaka Zitto Kabwe ajiunge na CCM au CUF...

Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amemtaka Zitto aunde chama chake au atafute kingine cha kujiunga nacho kwa kuwa kwa sasa hana nafasi.   Pia ameshauri kuwa kama ana ndoto za kuwania urais ni vizuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke wa kitanzania anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar...

KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya nchini, kimemkamata mwanamke mmoja Mtanzania akiwa amebeba kete 63 za dawa za kulevya aina ya heroine.  Mwanamke huyo, Salama Mzara mkazi wa Mbagala,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AFUNGUKA.... BADO NIPO SINGLE JAPOKUWA NASUMBULIWA

Akiongea na Bongo5, Ray C amesema picha alizoziweka Instagram akiwa na mwanaume si maisha halisi bali alitaka ‘kuhave fun’ na mashabiki wake. Lakini amekiri kuwa usumbufu anaoupata kutoka kwa wanaume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. NDESAMBURO AELEZA KUWA CHADEMA NI MTI WA MATUNDA

MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (CHADEMA), amesema matatizo yanayokikumba chama hicho kwa sasa yanatokana na kundi la watu wachache wenye uchu wa madaraka, ambao pia wanatumiwa na Chama Cha...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>