Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amemtaka Zitto aunde chama chake
au atafute kingine cha kujiunga nacho kwa kuwa kwa sasa hana nafasi.
Pia ameshauri kuwa kama ana ndoto za kuwania urais
ni vizuri akatafute vyama vingine kama CCM au CUF kwa kuwa ndani ya
Chadema kwa sasa hahitajiki.
Mtei alisema kuwa kama anataka
↧