Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bahari ya Hindi yaua watu 10... Sita walikuwa katika Boti ya Kilimanjaro , Wanne walikuwa katika boti ya Mv Nyaulele

$
0
0
Watu kumi wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea jana  katika Bahari ya Hindi.   Katika ajali ya kwanza, watu sita walifariki baada ya boti ya Kilimanjaro II ilipokumbwa na dhuruba kali katika mkondo wa Nungwi, Zanzibar wakati ikitokea Pemba kwenda kisiwani Unguja jana asubuhi. Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A, Riziki Juma, alisema jana jioni kuwa maiti sita zilipatikana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>