Consolata Edward ni mke wa mtu, mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye
amebaki na kipisi cha sikio baada ya kunyofolewa kiungo hicho kisa
kikidaiwa kuwa ni hawara yake.
Tukio hilo lilitokea Desemba 16, mwaka jana ambapo mwanamke huyo
alidai kuwa alikuwa akizungumza kwa simu na mfanyakazi mwenzake ambaye
anauza naye chakula maeneo ya Mlango Mmoja jijini hapa kabla ya mumewe
kumvamia na
↧