Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mke wa mtu anyofolewa sikio katika ugomvi wa kimapenzi kati yake na mumewe

$
0
0
  Consolata Edward ni mke wa mtu, mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye amebaki na kipisi cha sikio baada ya kunyofolewa kiungo hicho kisa kikidaiwa kuwa ni hawara yake. Tukio hilo lilitokea Desemba 16, mwaka jana ambapo mwanamke huyo alidai kuwa alikuwa akizungumza kwa simu na mfanyakazi mwenzake ambaye anauza naye chakula maeneo ya Mlango Mmoja jijini hapa kabla ya mumewe kumvamia na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>