Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hukumu ya Zitto Kabwe yaahirishwa hadi kesho saa nane mchana

$
0
0
Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha kutoa hukumu dhidi ya Zitto Kabwe na CHADEMA  na badala yake  hukumu hiyo itatolewa kesho saa 8:00 mchana. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama hiyo, kesi hiyo imeahirishwa mpaka kesho mchana kwa sababu hakimu anayesikiliza kesi hiyo hajamaliza kuandika hukumu ya kesi hiyo. <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles