Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete aongoza maelfu ya wananchi wa Iringa waliojitokeza kumzika alyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa

$
0
0
MAELFU   ya  wakazi  wa mkoa  wa Iringa na  baadhi  ya  viongozi  wa  vyama  vya  siasa na  Serikali  wakiongozwa na  Rais Dr  Jakaya  Kikwete  wameshiriki  katika mazishi ya  aliyekuwa  mbunge wa   jimbo la Kalenga na  waziri wa fedha  Dr  Wiliam Mgimwa. Waziri  mkuu Mizengo  pinda katika  salam  zake za serikali ameeleza  jinsi  Taifa  lilivyopata  pigo kubwa  kufuatia  kifo  cha Dr

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>