Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RAY C AFUNGUKA.... BADO NIPO SINGLE JAPOKUWA NASUMBULIWA

$
0
0
Akiongea na Bongo5, Ray C amesema picha alizoziweka Instagram akiwa na mwanaume si maisha halisi bali alitaka ‘kuhave fun’ na mashabiki wake. Lakini amekiri kuwa usumbufu anaoupata kutoka kwa wanaume si mdogo.   “Sijapata bado mchumba nilikuwa nawachombeza fans wangu kwenye Instagram kwasababu nasumbuliwa sana.” Kuhusu nyimbo mpya, Ray C amesema mwaka huu atarudi kwenye muziki kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>