Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MH. NDESAMBURO AELEZA KUWA CHADEMA NI MTI WA MATUNDA

$
0
0
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (CHADEMA), amesema matatizo yanayokikumba chama hicho kwa sasa yanatokana na kundi la watu wachache wenye uchu wa madaraka, ambao pia wanatumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).  Ndesamburo alisema kuwa wanaosababisha hali hiyo ni vijana ambao hawana uchungu na CHADEMA, na hivyo kushauri uongozi uchukue hatua stahiki ya kinidhamu kwa watu hao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>