Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA yakituhumu chama cha CUF kwa kuandaa vijana wenye panga na marungu ili wakamuunge mkono Zitto Kabwe...CUF yakanusha

$
0
0
MGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.   Juzi wakati akitangaza kuwavua uanachama aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>