Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi wenye virusi vya UKIMWI mkoani Pwani wawalalamikia walimu wao

$
0
0
BAADHI ya wanafunzi wa shule za msingi mkoani Pwani wenye virusi vya Ukimwi, wamesema baadhi ya walimu huwataka kimapenzi licha ya kuwaeleza ukweli juu ya hali zao kiafya.   Wametaka Serikali na asasi za kiraia kusaidia kushughulikia walimu na wanajamii wanaoshawishi watoto kwa ujumla kuingia kwenye uhusiano nao wa kimapenzi.   Wamesema changamoto hiyo, husababisha baadhi kupata tabu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>