Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Unyama: Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke ambaye chama hicho kinamtuhumu kushirikiana na CUF kumuunga mkono Zitto avamiwa usiku na kupigwa nusura auawe

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke Joseph Yona ambaye  chama  hicho  kinamtuhumu  kushirikiana  na  CUF kumuunga  mkono Zitto  Kabwe amepigwa na watu wasiojulikana na kisha kutupwa kwenye eneo la Ununio kwenye Magorofa ya Wasomali Kawe Dar es salaam.   Shuhuda Abdul Ally ambae ni mkuu wa nyumba zilizokaribu na alikopigwa Mwenyekiti huyu, anasema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>