Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya Edward Lowassa akiitangaza Safari yenye matumaini kwa watanzania,...

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli ametangaza kuanza safari ya kutimiza ndoto zake,Safari ambayo kila mtanzania atapata elimu bora  na  ya  bure... Sikiliza hotuba yake ya mwaka mpya 2014 hapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatoa ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe.William Lukuvi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Mazishi ya aliyekuwa waziri wa Fedha Marehemu Dk. William Mgimwa akiongea na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka apata mtoto wa kike.....

STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo jijini Dar. Akizungumza na Ijumaa, Rose Ndauka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanakwaya wa kanisa katoliki wapigwa bomu jijini Arusha , sita wajeruhiwa,...

WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.   Walikutwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yatoa onyo kwa wanachama wake walioanza kupiga kampeni za chini chini...

Chama cha mapinduzi CCM kimetoa onyo kwa baadhi ya wanachama wake wanaoanza kufanya kampeni za chini kwa chini kabla ya muda kutangazwa na kuwataka kuacha mara moja.   Akibainisha hayo Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya Mh.zitto Kabwe kwa kamati kuu ya Chadema, juu ya mashtaka 11 dhidi...

  Our Ref: ZZK/12/13 10.12. 2013. Mh. Katibu MKuu, Chama Cha Demokrasia Na Mendeleo HSE NO 170, UFIPA STREET, KINONDONI S. L. P 31191 Dar es Salaam – Tanzania. YAH: MASHATAKA YA UKIUKWAJI WA KATIBA,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatima ya Pingamizi la Zitto Kabwe kujulikana Jumatatu...Wafuasi wa CHADEMA...

  Leo ilikua itoke hukumu ya  kesi iliyopo baina ya Zitto Kabwe na CHADEMA   ambapo kulikuwa  na  mabishano  makali ya kisheria dhidi  ya  pande  zote  mbili .  Hukumu hiyo haijatolewa  na  badala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki kuu ya Tanzania yatoa Sarafu ya sh. 50, 000 kama kumbukumbu ya miaka 50...

    Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Benno Ndulu ***  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu maalumu ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye thamani ya sh 50,000. Gavana wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Padri wa kanisa katoliki aliyemzalisha muumini wake na kisha kumtelekeza...

KESI iliyokuwa ikimkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa fedha za matunzo kwa mwanawe, jana ilifikia ukingoni baada ya mlalamikiwa kuamua kulipa jumla ya Sh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Penny amchamba Diamond....Adai angezaa naye angemharibia midomo na sura za...

  Penny  ambaye  ni mpenzi  wa  zamani  wa  Naseeb Abdul "Diamond"   haonekani  kujutia  kitendo  cha  kumwagana    na  msanii  huyo  na  badala  yake  sasa  ameanza  kuzipa  uzito  hoja  za  kumpiga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi yakiri kuwapiga bomu wanakwaya sita wa kanisa katoliki mkoani Arusha

Siku moja baada ya taarifa ya kupigwa bomu wanakwaya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga, Usa River, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amefafanua kuwa polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Waziri wa Fedha aliyefariki Afrika kusini wawsili nchini

  Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk.William Mgimwa umewasili nchi hii leo kwa ndege ya shirika la Kenya (KQ) na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali wakiongozwa na Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Matusi yenu kwangu ni hamasa ya kusonga mbele, Hata ukiwa mwema kiasi gani,...

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo ** Hiki ndicho ninachokifahamu mimi ndugu yenu. Maisha ni vita, maisha ni mapambano na mtindo pekee wa kukusogeza mbele ni kupigana! Hata uwe mwema kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari wawili wakamatwa baada ya kumteka mfanyabiashara na kisha kumpora...

Askari mwenye cheo cha sajini katika  Gereza la Ruanda na polisi mwenye cheo cha konstebo  katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Mbeya, wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na watu wengine watatu, kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA watwangana ngumi tena.....Awamu hii ni ndani ya kikao kilichokuwa...

  Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Shaaban Mwamba, juzi usiku alipata kipigo kutoka kwa maofisa wa  kikundi cha ulinzi cha chama hicho waliokuwa katika eneo ambalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea matembezi ya UVCCM leo wakati wa kusherehekea miaka 50 ya...

    Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji  kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar leo January 5, 2014....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Marehemu William Mgimwa ambaye alikuwa ni waziri wa fedha waagwa...

 Jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa viwanjani hapo wakati wa shughuli za kuaga.  Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mama Salma wakiaga mwili wa marehemu Dk. Mgimwa.     Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wavuliwa uanachama wa CHADEMA

  Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema. Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema.   KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe auanika Ufisadi wa Freeman Mbowe... Adai Tundu Lissu ni...

Akizungumza katika press conference ya CHADEMA na waandishi wa habari iliyofanyika leo, Mwanasheria mkuu wa Chadema, Mh.Tundu Lisu alisema kuwa mkakati wa kuwachafua viongozi ni wa siku nyingi ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mwaka 2014 kiongozi mmoja wa kisiasa atakuwa kichaa, utatokea msiba wenye...

  Aliyekuwa mtabiri  maarufu nchini, Shehe Yahya Hussein.  ** MRITHI wa kazi za marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Hassan Yahya Hussein, amesema mwaka 2014 kuna kiongozi wa kisiasa na kijamii mwenye...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>