Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari wawili wakamatwa baada ya kumteka mfanyabiashara na kisha kumpora milioni 3 na vitu vingine

Askari mwenye cheo cha sajini katika  Gereza la Ruanda na polisi mwenye cheo cha konstebo  katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Mbeya, wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na watu wengine watatu, kwa kuteka gari  na kupora  fedha na mali  katika eneo la Mlima wa Kawetere, Barabara ya Mbeya-Chunya, juzi jioni.    Inadaiwa kuwa katika tukio hilo, watuhumiwa walipora Sh3.5 milioni  naImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles