Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Chadema, Shaaban Mwamba, juzi usiku alipata kipigo kutoka kwa maofisa
wa kikundi cha ulinzi cha chama hicho waliokuwa katika eneo ambalo
mkutano wa Kamati Kuu ulifanyika, baada ya kutuhumiwa alikuwa
akiwasiliana na wafuasi wa Zitto.
Taarifa kutoka kwa mjumbe mmoja ambaye hakupenda
jina lake
↧