Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge watatu ambao ni wauzaji wa dawa za kulevya wajisalimisha kwenye...

Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu watano wakiwemo wabunge watatu wa  CCM wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya wamejisalimisha kwenye kamati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu watano wachomwa moto na wananchi wenye hasira kwa madai ya kuiba mchango...

Watu watano wamekufa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kwa madai ya  kuiba mchango wa rambirambi Sh. 65,000. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana saa 7.30 mchana baada ya watuhumiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba ya Rais Kikwete kwa watanzania kuufunga mwaka 2013 na kuukaribisha...

SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA, TAREHE 31 DESEMBA, 2013 Utangulizi Ndugu zangu; Watanzania Wenzangu; Niruhusuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond afunga mwaka kwa kutoa burudani ya nguvu kwa wakazi wa Mkoa wa Lindi

  Katika heka heka za kuaga mwaka 2013 usiku wa kuamkia leo mji wa Lindi ulitikisika baada ya mashabiki kujitokeza kushuhudia onyesho la Msanii nyota wa Muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wa jiji la Dar walivyoukaribisha mwaka mpya ndani ya uwanja wa...

Wakazi  wa  jiji  la  Dar  walivyoukaribisha  mwaka  mpya  ndani  ya  uwanja  wa  burudani  wa  Dar  Live       Picha  zote na  Issa Mnally  / GPL

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy New Year 2014....Asanteni wasomaji wetu kwa sapoti mliyotupa mwaka 2013

Timu  nzima  ya  mtandao  huu  inapenda  kuwatakia  heri  ya  mwaka  mpya  wasomaji  wetu  wote  popote  walipo  nchini  Tanzania  na  duniani  kwa  ujumla.... Moyo  usio  na shukrani hukausha baraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ulinzi waimarishwa jijini Dar....Polisi yatangaza kufanya doria kwa...

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.   Aidha, imepanga kushirikiana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakati mgomo wa wafanyabiashara jijini Mwanza ukiingia siku ya tatu leo, TRA...

Wakati mgomo wa wafanyabiashara mkoani Mwanza unaendelea, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitatumia ubabe kuwafungia maduka ambao watashindwa kuwa na Mashine za Kielektroniki (EFD)....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa afariki dunia....

Waziri wa Fedha, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Iringa, William Mgimwa amefariki dunia leo akiwa hospitali ya Mediclinic Kloff, Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa.   Dr. Mgimwa alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraza la mawazi laiva....Mawaziri, wabunge waitwa Dar, Dk. Nchimbi,...

RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi ya wabunge na mawaziri wakitakiwa kusitisha mapumziko yao ya mwisho wa mwaka na kurejea jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Siri ya mafanikio yangu ni Martin Kadinda...Yeye ndo mtu pekee aijuaye siri...

MSANII nyota wa filamu Bongo Wema Isack Sepetu amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kuvunja urafiki na meneja wake Martin Kadinda kwa sababu kama kuna kitu chochote cha mafanikio nyuma yake yupo Kadinda....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aomboleza kifo cha waziri wa Fedha, mh. William Mgimwa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha, Mheshimiwa William Mgimwa, aliyekuwa pia Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye akaribishwa CHADEMA kwa mikono...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua milango kwa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, katika harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kimesema wanaombeza kwa madai kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awapongeza mawaziri waliojiuzulu.....Asema wameonyesha ukomavu...

Rais Jakaya Kikwete, amewapa pole mawaziri wanne waliofutwa nyadhifa zao kutokana na matatizo yaliyowakuta na kuwapongeza kwa uamuzi wa kukubali kuwajibika kwa makosa yaliyofanywa na maofisa wa chini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu yamfanya Ray ashindwe kupiga busu Lulu Michael....

STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema alipata wakati mgumu kumpanga mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye filamu yake ambayo walipaswa kucheza kama wapenzi kwa kuhofia kumbusu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Peter Msigwa asisitiza kuwa Zitto Kabwe ni lazima avuliwe uanachama...

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) ametaka wana Chadema kuunga mkono mpango wa kumfuta uanachama aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wao, Kabwe Zitto. “Kuna mlolongo wa mambo yaliyofanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nimeanza safari yenye matumaini makubwa kwa Watanzania kwa kuwa itakuwa na...

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.   Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Natamani na naomba sana Jack Cliff ANYONGWE na afe kabisa "...Hii ni kauli...

Rehema Chalamila amekasirika na kwa jinsi ambavyo anawachukia wauza unga, hana hata chembe ya huruma kwa Jackie Cliff aliyekamatwa na madawa ya kulevya huko Macau, China mwezi December mwaka jana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA...

Mbunge wa Kigoma Kaskazini  kwa tiketi ya  Chadema, Zitto Kabwe leo ametinga Mahakama Kuu ya Tanzania,Kanda ya Dar es Salaam kuweka pingamizi la kisheria kuzuia Mkutano wa Kamati Kuu ya CHADEMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Zitto Kabwe baada ya Mahakama jana kumpa ushindi dhidi ya CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe jana alitinga  mahakama kuu  kupinga kujadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya Chadema,Kikao ambacho kilikuwa kikutane leo.   Hii  ni  kauli  yake  baada  ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>