Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu watano wachomwa moto na wananchi wenye hasira kwa madai ya kuiba mchango wa rambirambi ya Sh. 65,000 msibani

$
0
0
Watu watano wamekufa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kwa madai ya  kuiba mchango wa rambirambi Sh. 65,000. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana saa 7.30 mchana baada ya watuhumiwa kushambuliwa wakiwa mikononi mwa walinzi wa jadi (sungusungu). Watu hao walidaiwa kuiba mchango huo juzi usiku nyumbani kwa  John Ibarabara. Chanzo cha tukio hilo kinadai kuwa  watuhumiwa hao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>