Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wabunge watatu ambao ni wauzaji wa dawa za kulevya wajisalimisha kwenye kamati ya kidini....

$
0
0
Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu watano wakiwemo wabunge watatu wa  CCM wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya wamejisalimisha kwenye kamati ya kidini inayojihusisha na maadili nje na ndani ya makanisa. Katika mahojiano maalum na NIPASHE Mwenyekiti wa Kamati ya maadili na haki za binadamu  kwa jamii nje na ndani ya madhehebu ya dini,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles