Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kauli ya Zitto Kabwe baada ya Mahakama jana kumpa ushindi dhidi ya CHADEMA

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe jana alitinga  mahakama kuu  kupinga kujadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya Chadema,Kikao ambacho kilikuwa kikutane leo.   Hii  ni  kauli  yake  baada  ya  mahakama  kumpa  ushindi; "Jana tulikwenda mahakamani kwa ajili ya jambo moja tu kutaka haki itendeke kwa sababu mahakaama ndiyo chombo cha juu kabisa kwenye nchi yetu cha kuweza kutenda haki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>