Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zitto Kabwe aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kumjadili kesho

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kaskazini  kwa tiketi ya  Chadema, Zitto Kabwe leo ametinga Mahakama Kuu ya Tanzania,Kanda ya Dar es Salaam kuweka pingamizi la kisheria kuzuia Mkutano wa Kamati Kuu ya CHADEMA uliopangwa kufanyika kesho tarehe 3/1/2014. Zitto kupitia kwa Wakili wake Albert Gabriel Msando,aliwasilisha pingamizi hilo kwa Hati ya dharura iliyosainiwa na Wakili Msando. Pingamizi hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>