MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
Lowassa alisema hayo jana katika Ibada ya shukurani yake na familia yake, kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Monduli mkoani Arusha.
Ibada hiyo ilikwenda sanjari na
↧