Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakati mgomo wa wafanyabiashara jijini Mwanza ukiingia siku ya tatu leo, TRA yasema haitatumia ubabe tena kuyafunga maduka ya wasio na mashine za EFD

$
0
0
Wakati mgomo wa wafanyabiashara mkoani Mwanza unaendelea, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitatumia ubabe kuwafungia maduka ambao watashindwa kuwa na Mashine za Kielektroniki (EFD).    Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo alisema wameweka mikakati ya kuwaelimisha wafanyabiashara.   Miongoni mwa mikakati hiyo, ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>