Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Benno Ndulu
***
BENKI
Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu maalumu ya kumbukumbu ya miaka 50
ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye thamani ya sh 50,000. Gavana wa BoT,
Profesa Benno Ndulu, amesema kuwa sarafu hiyo iliyotengenezwa kwa madini
ya fedha kwa asilimia 92.50, imetolewa kwa ajili ya kumbukumbu tu na
haitaingizwa katika mzunguko
↧