Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benki kuu ya Tanzania yatoa Sarafu ya sh. 50, 000 kama kumbukumbu ya miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar

$
0
0
    Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Benno Ndulu ***  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu maalumu ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye thamani ya sh 50,000. Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu, amesema kuwa sarafu hiyo iliyotengenezwa kwa madini ya fedha kwa asilimia 92.50, imetolewa kwa ajili ya kumbukumbu tu na haitaingizwa katika mzunguko

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>