WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.
Walikutwa na masahibu hayo juzi muda mfupi baada ya kutoka kanisani kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya saa 6.30 usiku, meta 100 kutoka Kanisa hilo, eneo la Kisangani.
Mganga Msaidizi wa hospitali hiyo, iliyoko
↧
Wanakwaya wa kanisa katoliki wapigwa bomu jijini Arusha , sita wajeruhiwa, mmoja hali yake ni mbaya
↧