Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hausigeli anaswa AKIKOJOLEA chombo cha kumpikia chakula bosi wake....Hii ni...

Binti  mmoja  ambaye  ni  mfanyakazi  wa  ndani ( Housegeli )  amenaswa  live  na  kamera  zilizofungwa  jikoni  na  bosi  wake  akikojoa  ndani  ya  jiko  na  kisha  kuuchukua  mkojo  na  kuuchanganya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa chuo kikuu apiga picha chafu akitambaa sakafuni huku wenzake...

Mwanafunzi  mmoja  wa  chuo  kikuu  maarufu  nchini   amejikuta  akiuaga  mwaka  vibaya  baada  ya  picha  zake  chafu  kuvuja.... Katika  picha  hizo, mwanafunzi  huyo  anaonekana  kujiachia  uchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awataka wananchi kuwekeza zaidi katika kilimo ili kukuza uchumi...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amesema endapo jamii itafanikiwa kuwekeza katika kilimo basi uchumi wa Tanzania utakuwa na kufanikiwa kupiga hatua katika maendeleo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Kwani Kuna ubaya gani nikitangaza hadharani kwamba natafuta mwanaume wa...

Msanii wa THT, Rachel Haule ameijibu taarifa iliyoandikwa na mitandao ya nchini Kenya kuwa aliwaaibisha wasanii wenzie wa Kigoma All-stars waliokuwa kwenye show mjini Mombasa, Kenya wiki iliyopita kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya SUMTRA kwa umma kuhusu kusitisha leseni za usafirishaji kwa mabasi...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUSITISHA LESENI ZA USAFIRISHAJI KWA MABASI YANAYOMILIKIWA NA KAMPUNI ZA OSAKA ROYAL CLASS, POLEPOLE CLASSIC NA BURHAN BUS SERVICES Hivi karibuni mabasi yanayomilikiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu saba wakamatwa kwa kosa la kumpiga mawe na kumuua mwenyekiti wa CCM -...

Watu saba wanashikiliwa na Polisi Mwanza wakituhumiwa kuhusika na mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Diwani wa Kisesa, Clement Mabina.    Mabina aliuawa na wananchi katika ugomvi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yakiri uwepo wa wanaume nchini ambao siyo Rijali

Serikali imekiri kuwapo wanaume ambao mbegu zao hazina uwezo wa kuwapa mimba wanawake na kwamba, imekuwa ikiendelea kutoa elimu mara kwa mara.    Hayo yalisemwa jana na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahitimu wa vyuo vikuu nchini washauriwa kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa

  SHIRIKA la Maendeleo la Restless limewataka wanafunzi wanaohitimu vyuoni kuwa na mtazamo tofauti ikiwamo wa kujiajiri kuliko kutegemea ajira kupunguza tatizo la ajira nchini. Akizungumza na RAI,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Kesi ya kukutwa na simu nimebambikiwa"...Liyumbs

Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Wasanii ni wanafiki ....wakati naumwa sikuwahi kupigiwa simu na msanii...

Rehema Chalamila aka Ray C jana alifunguka kupitia kipindi cha Mkasi jinsi ambavyo wasanii wenzake walimtenga wakati alipokuwa amelazwa hospitali kupatiwa matibabu ya ‘uraibu’ (addiction) wa madawa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Maneno ya watu ndo yaliyonifanya nikubali kulala na bosi wangu....Walinisema...

Hivi sasa sio siri tena wala Baby Madaha hataki tena kupindisha pindisha maneno kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na meneja wake wa Kenya CEO wa Candy n Candy Joe Kariuki.   Msanii huyo filamu na muziki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi jijini Mwanza kufuatia vifo vya...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo kufuatia vifo vya watu wawili vilivyotokea tarehe 15 Desemba, 2013 katika Kitongoji cha Kanyama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ni picha mbili za Lulu Michael akiwa kifua wazi ambazo zilimfanya...

  Hizi  ni  picha  mbili  za  Lulu  Michael  akiwa  kifua  wazi  ambazo  zilimfanya  atangaze  dau  la  sh. 800,000  kwa  mwanaume  anayemtaka...   <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maiti nyingine yagoma kuzikwa nchini Kenya.....Ndugu wafanya tambiko kumsihi...

  Hii  ni  maiti  nyingine  iliyozua  kizaa zaa  nchini  Kenya  baada  ya  kugoma  kuzikwa..... Zaidi  ya  magari  10  yalishindwa  kuisafirisha  maiti  hii  na  ndipo  ndugu  wa  marehemu  akiwemo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unyama: Majambazi 7 yambaka mama na mabinti zake watatu kwa zamu huko Geita

Watu  wanaokadiriwa kufikia saba wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na mapanga na marungu, wamevamia nyumbani kwa mkazi wa kijiji cha Kaduda kata ya Katoro wilayani Geita na kuwabaka kwa zamu mama na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wataka Watanzania waandaliwe kumiliki uchumi wa gesi iliyogunduliwa...

Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara,  imeitaka serikali kuwaandaa Watanzania na miundombinu itakayowawezesha kumiliki uchumi wa gesi. Akiwasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kwa kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idadi ya waliokamatwa kwa kumpiga mawe na kumuua mwenyeki wa CCM yaongezeka...

Idadi ya watu wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Clement Mabina imeongezeka kutoka saba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abiria atakayekutwa amesimama ndani ya basi atatozwa faini.....Huu ni...

POLISI Kikosi cha Usalama Barabarani, inaandaa sheria itakayosaidia kudhibiti ujazaji wa watu kwenye magari ya abiria, ambayo abiria atakayekutwa amesimama, atatozwa faini.   Kauli hiyo ilitolewa jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu afulia baada ya kigogo wa ikulu aliyekuwa akimwagia manoti...

  NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha? Kama ni kweli, basi ile jeuri ya fedha ya Miss Tanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya vyema kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigulu Nchemba akerwa na kitendo cha Freeman Mbowe kuchanganya kazi na...

Mbunge wa Iramba Magharibi, mh. Mwigulu Nchemba  leo  asubuhi  aliomba  mwongozo  wa  Spika  wa  bunge  akimtuhumu Mh. Mbowe  kwamba  amekuwa  akitumia  madaraka  yake  vibaya  kwa  kuchanganya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>