Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu saba wakamatwa kwa kosa la kumpiga mawe na kumuua mwenyekiti wa CCM - Mwanza

$
0
0
Watu saba wanashikiliwa na Polisi Mwanza wakituhumiwa kuhusika na mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Diwani wa Kisesa, Clement Mabina.    Mabina aliuawa na wananchi katika ugomvi wa ardhi baada ya kudaiwa kumuua mmoja wa wakazi hao kwa risasi.   Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP), Valentino

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>