Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yakiri uwepo wa wanaume nchini ambao siyo Rijali

$
0
0
Serikali imekiri kuwapo wanaume ambao mbegu zao hazina uwezo wa kuwapa mimba wanawake na kwamba, imekuwa ikiendelea kutoa elimu mara kwa mara.    Hayo yalisemwa jana na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alipojibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu, Kidawa Saleh (CCM).   Mbunge huyo alitaka kujua iwapo Serikali haioni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>