Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Maneno ya watu ndo yaliyonifanya nikubali kulala na bosi wangu....Walinisema sana, nikaamua kufanya kweli"....Baby Madaha

$
0
0
Hivi sasa sio siri tena wala Baby Madaha hataki tena kupindisha pindisha maneno kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na meneja wake wa Kenya CEO wa Candy n Candy Joe Kariuki.   Msanii huyo filamu na muziki kutoka Tanzania Baby Joseph Madaha, ameiambia Global  kuwa mwanzoni yeye na Kariuki hawakuwa na uhusiano wa kimapenzi zaidi ya kazi, ila kutokana na watu kuanza kuongea kitu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>