Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi jijini Mwanza kufuatia vifo vya Mabina ( mwenyekiti wa CCM aliyeuawa na wananchi) na Malimi

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo kufuatia vifo vya watu wawili vilivyotokea tarehe 15 Desemba, 2013 katika Kitongoji cha Kanyama Kata ya Kisesa Wilaya ya Magu, Mkoani Mwanza.Rais ametuma salamu hizo kwa Mkuu wa Mkoa kufuatia vifo vya BW. Clement Mabina na Tenery Malimi vilivyotokea baada  vurugu zilizosababishwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles