Rehema Chalamila aka Ray C jana alifunguka kupitia kipindi cha Mkasi
jinsi ambavyo wasanii wenzake walimtenga wakati alipokuwa amelazwa
hospitali kupatiwa matibabu ya ‘uraibu’ (addiction) wa madawa ya
kulevya.
Ray C alisema japokuwa mama yake alitoa kwa umma mawasiliano yake na
maelekezo ya namna ya kumsaidia, simu hiyo iliyokuwa busy saa 24,
ilikuwa ikipokea simu na ujumbe
↧