Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Kesi ya kukutwa na simu nimebambikiwa"...Liyumbs

$
0
0
Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka hilo na kumuachia huru kwa madai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kumkomoa.    Liyumba aliyaeleza hayo jana wakati akijitete mbele ya Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando anayetarajia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles