Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wabunge wataka Watanzania waandaliwe kumiliki uchumi wa gesi iliyogunduliwa hapa nchini

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara,  imeitaka serikali kuwaandaa Watanzania na miundombinu itakayowawezesha kumiliki uchumi wa gesi. Akiwasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kwa kipindi cha Machi hadi Desemba 15, mwaka huu, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mahmoud Mgimwa, alisema maandalizi ya uchumi wa gesi yanatakiwa kuwa makubwa. Alisema hiyo ni pamoja na kumuandaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>