Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Idadi ya waliokamatwa kwa kumpiga mawe na kumuua mwenyeki wa CCM yaongezeka na kufika 10

$
0
0
Idadi ya watu wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Clement Mabina imeongezeka kutoka saba hadi 10.  Habari kutoka ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza  zimeeleza kuwa watuhumiwa hao walikamatwa kutoka maeneo mbalimbali ya Kata ya Kisesa kwa ajili ya kuhojiwa.   “

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>