Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Sitishiki, Sitamwogopa mtu mpaka naenda kaburini....Gari lolote...

Waziri  wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa ataisimamia sheria namba 30  ya mwaka 1973 ya usalama barabarani iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2001 inayohusu kiwango cha mwisho cha uzito wa magari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Paul aelezea changamoto aliyoipata baada ya kuigiza kama CHANDUDOA...

Muigizaji wa filamu nchini, Irene Paul amesema haikuwa rahisi kuigiza kama changudoa (msichana anayejiuza mwili) kwenye filamu kuhusu masuala ya Ukimwi, Shujaa. Akiongea na mtandao wa Bongo5, Irene...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti aanikwa uchi na mpenzi wake baada ya kumsaliti

Binti  mmoja  amejikuta  akiambulia  aibu  ya  mwisho  wa  mwaka  baada  ya  picha  zake  chafu  kuvuja  mitandaoni....Kwa  mujibu  wa  mitandao  ya  kijamii  iliyozinasa  picha  hizi, binti  huyu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya alimwa matusi na mashabiki mtandaoni ..Lengo lake lilikuwa ni...

Ukifungua page ya Irene Uwoya kwenye Instagram ambayo anatumia jina la @ireneuwoyaonepieceintown utakutana na hii picha inayohusu kifo cha muigizaji Paul Walker . Lakini post ya Irene imechukuliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yazidi kubomoka: Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Singida naye ajiuzulu

  WILFRED NOEL KITUNDU MWENYEKITI CHADEMA MKOA SINGIDA S.L.P 260 3.12.2013 KATIBU WA CHADEMA MKOA S.L.P 260 SINGIDA   YAH: - KUJIUZURU UENYEKITI MKOA SINGIDA Somo hapo lahusika, Ninapenda kukuarifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Singida ailaani kamati kuu ya chama hicho dhidi...

MSIMAMO WA MWENYEKITI CHADEMA MKOA WA SINGIDA DHIDI YA UAMUZI WA KAMATI KUU YA CHAMA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UTANGULIZI Ikumbukwe kwamba mimi ndio mwanachama wa kwanza kujiunga na CHADEMA mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ni Mbaya: Ofisi ya CHADEMA mkoani Arusha yachomwa moto

Ofisi  ya  CHADEMA  mkoani  Arusha  imechomwa  moto  na  watu  wasiojulikana. Picha  zilizopachkwa  hapo  chini  zinaonesha  sehemu  ya  tukio  hilo  huku  polisi  wakiendelea  na  uchunguzi  wao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya ofisi za CHADEMA kuchomwa moto.....vijana wa Arusha wamtungia wimbo...

Baada  ya  ngome  kuu  ya  CHADEMA  kupigwa  kiberiti  leo  mchana, vijana  wa  Arusha  wameamua  kuingia  studio  na  kurekodi  wimbo  wa  Ushujaa  wa  Godless  Lema.... Baadhi  ya  mashairi; *Arusha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amteua Dr. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa heshima

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.   Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam leo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hofu ya vyeti feki Serikalini yatanda....Watumishi wote sasa kuhakikiwa vyeti...

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, limetoa mwezi mmoja kwa watumishi wake wote  kuwasilisha vyeti vyao ili viweze kufanyiwa uhakiki ili kubaini kama kuna vyeti feki. Katibu Mkuu wa Wizara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Slaa akubali kusogeza mbele ziara ya kutembelea majimbo nane ya mkoa wa...

MWANGWI wa uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema wa kumvua madaraka aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto  Kabwe na wenzake, mbali na kutikisa katika kanda sita kati ya kanda nane muhimu za chama hicho nchini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yatangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika...

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa kujaza viti vilivyo wazi vya madiwani katika kata 27 zilizoko katika halmashauri 23, utafanyika Februari 9, mwakani. Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Tutakilinda chama chetu kwa nguvu zote na hatuko tayari kuwavumilia...

Baraza la Vijana la Chama chama Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), limesema litakilinda chama chao kwa nguvu na kwamba halitamvumilia atakayebainika kufanya vitendo vya kukihujumu.   Limesema kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nini kifanyike kuwasaidia hawa wanafunzi wasipige hizi picha?...Karibu katika...

Mwanafunzi  mmoja  naye  amejikuta  akionja  machungu  ya  utandawazi  baada  ya  rafiki  zake  kumsaliti  na  kuzianika  picha  zake  chafu  akiwa  hosteli....  Maswali  ya  kujiuliza:  1.Kwa  nini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muonekano mpya wa msanii Jokate Mwegelo

  Huu  ni  msanii  mpya  wa  mrembo  Jokate  Mwegelo <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama ya Rufaa yamwachia huru Kajala Masanja....

Mahakama ya Rufaa Kanda ya Dar imeridhia hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya faini ya Sh. Milioni 13 na kumwachia huru staa wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja. Kajala sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kuchomwa moto kwa ofisi za...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA OFISI YA KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA: TAARIFA YA AJALI YA MOTO KATIKA OFISI ZA CHADEMA Ndugu wanahabari, mnamo tarehe 03/12/2013 muda wa saa 5:00 asubuhi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA yaipa Tanzania mgawo wa tiketi 260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini...

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeipa Tanzania mgawo wa tiketi 260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil. Watanzania wanaohitaji tiketi hizo wanatakiwa kutuma maombi TFF kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Mkutano wa katibu mkuu wa CCM wakati akihitimisha ziara yake jijini...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Mbeya mjini, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana jioni katika Uwanja wa Rwanda Nzovwe, wilaya ya Mbeya mjini, ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za mkutano wa Dr. Slaa Kahama mjini siku ya jana

  Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa akihutubia wakazi wa Kahama Mjini jana. Dk. Slaa akiendelea na mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>